Tuesday, March 1, 2016

Jinsi Ya Kujua Tofauti Kati Ya Weaving Original Na Fake.

TIPS

Jinsi Ya Kujua Tofauti Kati Ya Weaving Original Na Fake.


Hapa mambo ya No Fake Zone , wadada tunaongezea sana extensions na you only look great kama umeunganishaia kitu oroginal, kuna hata zile ambazo sio original lakini zinakaa vizuri. Tatizo linakuja kwenye kuzitunza na kuzistyle mitindo unayotaka, si mnajua kuwa weave original unaweza liosha, ukalinyoosha, ukaziweka curls au hata ukazipaka rangi na bado zitakuwa nzuri na unaweza kukaa nazo kwa muda mrefu, wewe kazi yako inakuwa kuziosha tu na kubadili style lakini zile fake huwezi fanya hivo.
 Wale tunaotumia kitu chenyewe, zile original virgin human hair (Brazilian & Peruvian) , kuna mara nyingine unakuta zimechakachuliwa, zinakuwa sijui zimechanganywa na synthetic hair, basi leo nakuletea some tips zitakazokewezesha kujua kama weaving unalolitaka ni original au fake.
1.RESEARCH
Jinsi Ya Kujua Tofauti Kati Ya Weaving Original Na Fake 6
Kwanza kabisa fanya research, kama kawaida fanya research, google hiyo nywele unayoitaka, angalia original inakuja na rangi gani, maranyingi zinakuwa nyeusi tu kwani utaweza kuzipaka rangi kama unataka. Angalia zinatakiwa kuwa na urefu gani, uzito na hata wingi.
2.FANYA SMOKE TEST
Jinsi Ya Kujua Tofauti Kati Ya Weaving Original Na Fake 3
Unaweza pia ukajua kama weaving unalolitaka ni original au fake kwa kufanya smoke test, yaani chukua nywele hiyo na kuiwasha moto. Sio yote  chukua kaportion kadogo tu, sasa sijui hapo unaponunua kama utaruhusiwa kuchoma nywele kabla hujainunua  ,lakini kama ukiichoma mota na ikawa majivu kabisa basi kitu original hiko! lakini ukiichoma na ikawa kama inaganda kisha ikipoa inaganda basi ni feki!
3.WEKA MAJI
Jinsi Ya Kujua Tofauti Kati Ya Weaving Original Na Fake 5
Kama umeshanunua weaving lako na unatakakujua kama ni original weka maji, lioshe kisha jaribu kuchana. Kama nywele zimejifungafunga sana na ni tabu kuzichana basi ni feki! lakini kamaunaweza kuzichana vizuri basi kitu original.
4.RANGI
Brazilian Bundle Deals
Rangi pia ni njia nyingine ya kujua kama weaving ni original au ni fake, kama nilivyosema mwanzo maveaving original huwa yapo in natural colors, yaani rangi kama ya nywele za kawaida za mtu kabisa. Hivyo unaweza kuamua mwenyewe kama utazipaka rangi, utaziseti au utazirelax

MISUKO YA NYWELE

NATURAL HAIR


fashion Tanzania LEO tunafurahi kushare nanyi misuko tofauti ya nywele , wasusi wenyewe wanakwambia ukiwa na nywele zisizo kipilipili na dawa ni nzuri zaidi wakati wa kuzisuka hazitelezi mkononi na pia na rahisi kuzifinyanga tofauti na nywele zenye dawa ambazo wanashauri hata ukiwa umeweka dawa zipe muda atlist ya mwezi ili zianze kuota ota na zishikike kwa urahisi
japokuwa wasukwaji wakishasukwa hudau dawa yenye nywele inakaa vizuri sababu kunakuwa hakuna vinywele kama si vinyoleo vilivyosimama na hivyo huwa nadhifu mnooo
haya misuko ndo iyo we ungepengelea upi, je wewe ni msusi  unapenda suka nywele aina ipi zenye dawa au kipilipili
misuko
 misuko bride style
huu ni bridal style, utampendeza bi harusi ambaye atapenda suka siku ya harusi yake hata tiara inakaa sawa sawia
Misuko ya nywele za mkono
hizi nywele alisukaga Alicia Keys ikawa ndo style ya jiji ….
misuko alicia keys
misuko yebo yebo mix
naomba niite yebo yebo mix maana kuna kubwa na ndogo
misuko yebo yebo za mwenge
hii naomba niibatiye yebo yebo ya mwenge , wengi unaokutana nao wamesuka hii ukimuuliza umesuka wapi wanakwambia Mwenge
misuko yeboyebo nene
mbijuo hii nywele ukiisuka lazima uwe na nywele ndefu kama sio zilizojaa au laa ndo ujazilize na rasta kama hivi

EVE FASHION COLLECTION






Eve Collections was born following a trip to Nigeria in 2011 when Evelyn was inspired by the way different fabrics were used to create truly amazing pieces. Eve Collections creates all styles of dress, from traditional to contemporary. Each dress is as unique and individual as the client it is made for, using a range of fabrics sourced from all over the world. All garments are made with exquisite attention to detail and the clients are involved in the creative process so that their true vision is realised alongside the Eve Collections signature style.

Stockist:

Eve collections, Arcade House, 72 Block D, Old Bagamoyo Road, Dar-Es-Salaam


FEMALE SHOES

Women love pains...heheheh its crazy BUT true! Women find any means of inducing pain,to feel satisfied with BEAUTY! Talking about tweezing eyebrows,waxing,crazy painful hairstyles,and the famous high heeled shoes!...Now,as a woman,would you wear this?
 These are just 7inch high..BUT you can see how awkward that leg is positioned!
 At 7inch also...do you see the sole? Imagine how twisted that leg will be!
 What about this beauty!! Would you wear this?

 I included this pair NOT because of how high it is..BUT rather how awkward it is!
 At number 2 we have the Louboutin ballet 8feet high! Its the highest shoe ever made,BUT not my number 1....because it wasn't made for someone to actually wear.
 BUT this one was....standing tall at Number 1...LadyBWear is even recognized by the Guinness World Record!! Its 11inch high heeled shoes...damn!!! I wouldn't dare try them on...Would you?....lol

SWAHILI FASHION WEEK EVENT

Swahili Fashion Week ni tukio ambalo hufanyika kila mwaka linalojumuisha madesigner wa Kitanzania wenye vipaji tofauti tofauti.

Tizama video ya tukio la Swahili fashion week la mwaka 2015

AFFAIR FASHION SHOW IN ARUSHA


If there is one reason why Gabriel Mollel was unprecedentedly double-crowned Tanzania’s best and most innovative fashion designer during the 2012 Swahili Fashion Week then that will be because he is the hardest working fashion designer in Tanzania. 




His passion and vigor is into fashion designing.  His creations are infused with the richness of his unique cultural background.  Unlike most local designers who are influenced by the world’s fashion trend, Gabriel Mollel is set out to influence the world’s fashion with Tanzanian style. His choice of materials; genuine leather, colorful fabrics and beads, is influenced by the environment he grew up in.


On October 25 2016 Gabriel Mollel will be showcasing his first collection for the year 2016 at the Jambo Fashion Affair Fashion Show in Arusha. 


The collection, titled Vuli Collection, compose ready to wear pieces appropriate for the moderately rainy season of September through November.